Archives for Mwanza Archdiocese

KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU KANDA YA ZIWA VIKTORIA (19-23 JUNI, 2025)

Tarehe 19-22 Juni  tuliadhimisha Kongamano ya Kanda la Mwanza/Ziwa Victoria kwa ajili ya kuadhimisha mwaka wa Jubilei 2025 kwa ajili ya kuimarisha Imani ya Watoto wa Mashirika za Kipapa Kanda ya ziwa.  Yafuatayo ni majimbo ya kanda ya mwanza: Jimbo kuu la Mwanza, Musoma, Bunda, Shyinyanga, Geita, Rulenge-Ngara, Kayanga na Jimbo la Bukoba.

Bukoba watoto 546,  walezi 45, watawa 9,mapadre 2.  Shinyanga watoto 181 walezi 9 watawa 4 padre 1.  Musoma watoto 450 walezi 37 watawa 8. Bunda watoto 583, walezi 60,watawa 2, mapadre 1.Kayanga watoto 488walezi 26watawa 9 mapadre 1. Rulenge ngara  watoto 515, walezi 25, watawa 5. Geita watoto 70 walezi 47, watawa 2, mapadre 1. Mwanza watoto 835 walezi 62 watawa 10, mapadre 2

Kutoka majimbo haya tajwa hapo juu walihudhuria na kufurahia Kongamano hilo wakisema :”heri ingeendelea hadi wiki nzima”. Waliahidi awamu ijayo wataudhuria wengi zaidi.

Waliudhuria watawa  toka Mashirika mbalimbali wanaofanya utume wa kuwalea watoto kiimani na kimaadili.

Watoto walipata mada mbalimbali kutoka kwa watu mbalimbali kwamfano: Askofu wa Jimbo la Bukoba Jovitus Mwijage alifundisha mada :”Watoto waige maisha ya watakatifu. Mapadri wakurugenzi pia walitoa Mada kwa kukusisitiza watoto waendelee kujitambua Watoto walifurahia Mada zilizotolewa, michezo mbalimbali, burudani na nyimbo za utamaduni.

Misa ya ufunguzi iliadhimishwa na Askofu wa Bukoba, Jovinus Mwijage na Misa ya hitimisho iliadhimishwa na Askofu wa Jimbo la Geita Kasala, Flavian Kassala.

Michezo ya maswali na majibu kuhusu sakramenti, liturujia, historia ya kanisa

Michezo ya mpira kati ya mashabiki  wa yanga 3-1 Simba na michezo mingine ilichezwa katika kongamano hilo.

Kongamano la Kanda Limetusaidia Yafuatayo :

Watoto kusafiri kugundua mazingira mapya.

Watoto kujifunza kupitia Mada, michezo, burudani.

Watoto walijifunza kuishi mbali na familia kwa kujitegemea.

Tunamshukuru Mungu kutuwezesha kuadhimisha Kongamano na kumaliza Salama.

Tunamshukuru Rais wa PMS, askofu Jovitus Mwijage wa Jimbo la Bukoba kwa kutulisha neno, Mada  na kuhudhuria Kongamano. Tunamshukuru baba Mheshimiwa Mkurugenzi waTaifa PMS Padre Alfred Kwene kwa ushiriki wake. Aidha, tunawashukuru wakurugenzi wa majimbo yote ya Kanda ya kwa kushiriki wao mzuri. Shukran nyingi ziwaendee walezi na watoto kwa kuitikia na kuja katika kongamano hili.

 

Imeandaliwa na: Pd. Yvon, Mkurugenzi msaidizi wa PMS, Jimbo Kuu la Mwnza.

Read more

TANZANIA – MILLION CHILDREN PRAY THE ROSARY (19 OCTOBER, 2024)

Today the studios of Radio Maria Tanzania roared with the voices of praying the Universal Holy Rosary, while they invited people from every group: elders, youth, businessmen, farmers, and other groups, with the concept of living the message of Pope Francis for Mission Sunday 2024 which says; Go and invite everyone to the banquet (Mt 22:9).

In honor of the Virgin Mary, Star of Evangelization, today October 19, 2024, the children of Tanzania raised their voices together through Radio Maria and other radio stations of the Catholic Church joining spiritually with all the children in the world to pray the holy rosary that is prayed every year in October on the Saturday before Mission Sunday. The specific goal of today’s rosary for the children of Tanzania was to pray for peace, unity and the success of the missionary works in the Local Church of Tanzania and the world at large.

Since it has become a formula for the PMS National Office to choose every year 7 dioceses that take turns in leading others in the rosary, this year the leading dioceses were: Dioceses of Musoma (first mystery), Mahenge (second mystery), Archdiocese of Tabora (third mystery), diocese of Lindi (forth mystery), Mafinga (fifth mystery), Moshi (the litany) and the Archdiocese of Dar es Salaam which is given a chance every year considering that they are close to radio headquarters and if unexpected communication errors occur in a certain diocese they can support (their leading part was the opening and closing prayers).

By comparing the statistics that the PMS National Office has been taking every year to know the number of children who were praying the rosary on the scheduled day and time, the office admits that this year the number of children has been more surprising than previous years. For instance; archdiocese of Arusha gathered about 4000 children, Bukoba 2500, Bunda 500, Dar es Salaam 5000, Dodoma 3000 children, Ifakara 210, Kayanga 230, Moshi 5000 children, Mbulu 6400, Mbeya 6000, 1500 Kahama, Singida 3200 children, Mahenge 500, Njombe 1500, Songea 1900, Lindi 300 children, Iringa 3200, Mafinga 200, Musoma 300 to name a few. There were also priests (Diocesan PMS Directors), nuns and animators who were leading the children in the event of praying the rosary for each diocese. The PMS national team (Fr Alfred S. Kwene – PMS National Director, Sr Idda J. Mketi – PMS Secretary and Sr Anagladness Mrumah – National Childhood Secretary) joined to pray at the main center, that is, Blessed Virgin Mary of Fatima Parish-Msimbazi, where the children of the Archdiocese of Dar es Salaam gathered. Hence, with this assessment that the office has done, it has clearly shown that missionary work in Tanzania is growing and spreading rapidly like the seeds of the sower that fell on good soil (Ref. Mk 4:3-9)

It was a joy for us in Tanzania that we were able to have two bishops joining the children’s rosary (His Eminence Protase Cardinal Rugambwa and Rt. Rev. Jovitus Mwijage). Correspondingly, before the blessing His Eminence Cardinal Rugambwa was able to talk to the children and encourage them in living their missionary work tirelessly. In a special way, he was able to encourage all believers to live the message of the holy father of Mission Sunday 2024, which encourages all people to go and invite everyone wherever they are, so that they can follow Christ.

 

From PMS National Office

 

Read more