Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai na baraka nyingi alizotujalia mwaka huu.Tunamshukuru pia kufanikisha uwepo wetu katika kongamano letu la Utoto Mtakatifu. Tunamshukuru mlezi wetu mkuu yaani Baba Askofu kwa kutupa nafasi ya kukua katika malezi kwani “mtoto ni malezi” Mwaka huu tulifanikiwa kuleta nyumbani wazo la Kongamano la tano la Ekarestia kitaifa kwa kuwakutanisha Watoto wapatao 933 na walezi 76 jumla 1009 kwenye viwanja vya uaskofuni kwa muda wa siku nne.
Aidha, mada zilizowasilishwa kwa watoto ni pamoja na: Undugu huponya ulimwengu (Na Mwl. Silvano), Imani Katoliki (Na Mwl. Festo Hiza), Mtoto Mmisionari na uwajibikaji – Elimu, Wajibu na matokeo yake (Na Mwl. Silvano)Namna ya kuishi maisha ya furaha ukiwa Mtoto (Na Mwl. Festo Hiza), Haki ya Mtoto mmisionari kwa Kanisa na Taifa (Na Mwl. Silvano) Maisha ya Mtoto mmisionari kwa Watoto wenzake (Na Mwl. Festo Hiza), Mashindano ya usomaji wa Biblia (Na Mwl. Silvano na Walezi Msista)
Walezi wa Utoto Mtakatifu walifundishwa ama kukumbushiwa juu ya Wajibu wa Mlezi katika Malezi (Na Mwl. Silvano)
MAFANIKIO
Watoto wamepata Malezi na mafundisho mblimbali kulingana na dhamira ya kongamano hususani Undugu unaoponya Ulimwengu na athari za kutokutambua haki za Mtoto. Walipata pia Sakramenti kama vile sakramenti ya Kitubio na Ekaresti Takatifu
MAPENDEKEZO YA WATOTO
- Watoto walipendekeza kuwa Walezi wawe na Kongamano lao wenyewe kutangulia kongamano la Watoto. Hii itawafanya kutoa malezi vizuri ikiwa wanajua wanachokifanya.
- Watoto walipendekeza kuwa Wazazi wasiwazuie Watoto wenzao kuja kongamano
- Watoto waliomba kuvumiliwa kwa usumbufu wao na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika malezi.
MWISHO
Siku ya kilele tulifanya Maandamano kabla ya adhimisho la Misa Takatifu ikiwa ni fursa kwa Watoto kuinjilisha kwa vitendo. Hakika tumeonja Uwepo wa Utukufu na Upendo wa Mungu kati ya Watoto na Walezi waliponywa na Yesu wa Ekaresti. Yote kwa Utukufu Wake.
Imeandaliwa na: Pd. Alphonce Ndaghine, Mkurugenzi wa Mashirika ya Kipapa – Jimbo






During this Advent season, children of the Holy Childhood Society of the diocese of Njombe are in the process of receiving new education in every Parish on how to raise funds, aimed at helping people in difficult circumstances during the Christmas celebrations.
On 10-13 December 2024, children from the diocese of Same, had their Congress which has been held every year during the Advent period before 28th December. The theme of this Congress was that of the National Eucharistic Congress, which was held in September this year which says, “Fraternity to heal the world, we are all brothers”.
In November 2024, children from the two Parishes of Nachingwea and Ruangwa from Lindi Diocese, visited each other in Nachingwa parish with the aim of praying, eating and playing together. In this small event, all the children from these parishes seemed to be very happy, as they were able to pray together with the aim of praying for their fellow children in these two areas who live in difficult circumstances, and on the other hand, praying for themselves so that they can find strength in their missionary work.
The inauguration day at Kipalapala Seminary was held on the 4th October, 2024. The event commenced at 9:30 am with the opening prayer led by the General Spiritual Director, Rev. Fr. Theodatus Maramba.
Sunday, 20th October 2024, was a special day in our seminary. Mama Kipalapala, maintaining her custom of setting apart a day, well known as, “Karibu Day,” welcomed the new community members. This year, she has been blessed with 69 first year seminarians, 2 second year seminarians and 2 new formatters, Rev. Fr. Leander Bei from the Catholic Diocese of Mbulu and Rev. Fr. Germin Longio from the Catholic Diocese of Same.