Archives for News & Events

KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU JIMBONI SAME TAREHE 10-13/12/2024

Tunamshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai na baraka nyingi alizotujalia mwaka huu.Tunamshukuru pia kufanikisha uwepo wetu katika kongamano letu la Utoto Mtakatifu. Tunamshukuru mlezi wetu mkuu yaani Baba Askofu kwa kutupa nafasi ya kukua katika malezi kwani “mtoto ni malezi” Mwaka huu tulifanikiwa kuleta nyumbani wazo la Kongamano la tano la Ekarestia kitaifa kwa kuwakutanisha Watoto wapatao 933 na walezi 76 jumla 1009 kwenye viwanja vya uaskofuni kwa muda wa siku nne.

Aidha, mada zilizowasilishwa kwa watoto ni pamoja na: Undugu huponya ulimwengu (Na Mwl. Silvano), Imani Katoliki (Na Mwl. Festo Hiza), Mtoto Mmisionari na uwajibikaji – Elimu, Wajibu na matokeo yake (Na Mwl. Silvano)Namna ya kuishi maisha ya furaha ukiwa Mtoto (Na Mwl. Festo Hiza), Haki ya Mtoto mmisionari kwa Kanisa na Taifa (Na Mwl. Silvano) Maisha ya Mtoto mmisionari kwa Watoto wenzake (Na Mwl. Festo Hiza),  Mashindano ya usomaji wa Biblia (Na Mwl. Silvano na Walezi Msista)

 

Walezi wa Utoto Mtakatifu walifundishwa ama kukumbushiwa juu ya Wajibu wa Mlezi katika Malezi (Na Mwl. Silvano)

MAFANIKIO

Watoto wamepata Malezi na mafundisho mblimbali kulingana na dhamira ya kongamano hususani Undugu unaoponya Ulimwengu na athari za kutokutambua haki za Mtoto. Walipata pia Sakramenti kama vile sakramenti ya Kitubio na Ekaresti Takatifu

MAPENDEKEZO YA WATOTO

  1. Watoto walipendekeza kuwa Walezi wawe na Kongamano lao wenyewe kutangulia kongamano la Watoto. Hii itawafanya kutoa malezi vizuri ikiwa wanajua wanachokifanya.
  2. Watoto walipendekeza kuwa Wazazi wasiwazuie Watoto wenzao kuja kongamano
  3. Watoto waliomba kuvumiliwa kwa usumbufu wao na changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika malezi.

MWISHO

Siku ya kilele tulifanya Maandamano kabla ya adhimisho la Misa Takatifu ikiwa ni fursa kwa Watoto kuinjilisha kwa vitendo. Hakika tumeonja Uwepo wa Utukufu na Upendo wa Mungu kati ya Watoto na Walezi waliponywa na Yesu wa Ekaresti. Yote kwa Utukufu Wake.

 

Imeandaliwa na: Pd. Alphonce Ndaghine, Mkurugenzi wa Mashirika ya Kipapa – Jimbo  

                                            

Read more

KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU JIMBO KATOLIKI LA NJOMBE – 2024

Kuanzia tarehe 26 Desemba 2024, Parokia mbalimbali za jimbo la Njombe; wamefanya makongamano ya Utoto Mtakatifu. Katika Parokia  ya Familia Takatifu-Utalingolo watoto walifundishwa mada zifuatazo: Haki na wajibu wa mtoto-iliyotolewa na Arodia Mkinga, Mtoto mmisionari-ilitolewa na Sr. Lucia Mpete OSB, Liturjia – Pd. Lucas Mgaya

Kulikuwa na mada zilizotolewa kwa walezi: Namna ya kuwafundisha watoto– Sr. Lucia Mpete OSB, Ulinzi na usalama wa mtoto-Arodia Mkinga

Dhamira kuu ya kongamano ilikuwa: Sisi Sote ni Wamisionari.

Jumla ya watoto washiriki katika Parokia mbalimbali ni 1,794 kadiri ya ripoti zilizotumwa katika Ofisi yetu ya PMS Jimbo. Katika kongamano hili, watoto walipata fursa ya kutembelea watoto walemavu na maskini na kuwapelekea zawadi ndogondogo.

 

 

Imeandaliwa na: Pd. Lukas Mgaya, Mkurugenzi wa Mashirika ya Kipapa-Jimbo

 

Read more

KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU 26 – 29 DESEMBA 2024, MPANDA

Jimboni Mpanda, Kongamano la Utoto Mtakatifu mwaka huu limeanza tarehe 26 – 29 Desemba 2024. Tarehe 26 ilikuwa ni kwa ajili ya kuwasili. Tarehe 27 Des ilifanyika misa ya ufunguzi na bada ya hapo semina kwa watoto.

Watoto washiriki walikuwa 1,093, walezi 150, mapadre 12, masista 7 na Mha Baba Askofu na kufanyajumla kuu 1,263, ni sawa na ongezeko la asilimia 83 ya lengo kusudiwa.

Kwenye kongamano hilo, mada zilizotolewa ni mbili, ambazo ni;

  1. Unyanyasaji wa watoto – Pd Nicodemus Kyumana – Mkurugenzi wa PMS jimbo.
  2. Mazingira – Sr Mary Magdalene SND

 

Kilele cha kongamano kilikuwa tarehe 28 Desemba siku ya watoto mashahidi ambapo misa takatifu iliadhimishwa na Mha. Baba Askofu Eusebius Nzigilwa na kufuatiwa na chakuàla na burudani mbalimbali.

Tarehe 29 Desemba watoto walikuwa ni sehemu muhimu katika maadhimisho ya uzinduzi wa jubilei kuu kwa maandamano na misa takatifu iliyoadhimishwana Baba Askofu Eusebius Nzigilwa.

Baada ya Misa na chakula, na siku iliyofuata watoto walirudi maparokiani.

MAFANIKIO

  1. Ongezeko kubwa la ushiriki kwa watoto, walezi, mapadre na watawa.
  2. Ongezeko la ufahamu kwa watoto kutokana na mada wasilishwa.
  3. Ongezeko la hamasa la uundwaji wa kwaya za watoto.
  4. Ongezeko la ushiriki wa watoto wenye sare kwenye kongamano.

Tunamshukuru Mungu kwa ufanisi wa kongamano hili na tunatazamia maboresho na ufanisi mkubwa kwenye kongamano lijalo.

 

 

 

 

Imeandaliwa na: Pd. Nicodemus Kyumana, Mkurugenzi wa Mashirika ya Kipapa- Jimbo

Read more

TAARIFA YA KONGAMANO LA WATOTO JIMBO KATOLIKI LA MAFINGA

Tunamshukuru Mungu  kwa   zawadi  ya  uhai,  neema   na baraka  nyingi   atujaliazo  kila   siku  hadi tumehitimisha Kongamano  letu. Tunamshukuru pia kwa zawadi ya miaka 2025 ya Kuzaliwa Mwokozi wetu Yesu Kristo   ambaye ni zawadi ya Matumain i kwetu sisi wanadamu.

Washiriki

Kongamano letu limefanyika kwa siku   Tano na walikusanyika  watoto 902 na  walezi wao 74 kutoka Parokia zote za Jimbo Katoliki la Mafinga

Mada na Wakufunzi

Mada zilizowasilishwa ni kama ifuatavyo:  Wito –  Sr. Kil iana Sanga (CST), Mashirika ya Kipapa -Sr. Anagladness Mrumah (C.O.L.U, Fadhila – Pd. Gosbert Mlambia, Ulinzi na Usalama wa Watoto – Pd. Martin Mhavile, Yubilei Kuu 2025 – Pd. Paulo Wissa.

Mafanikio

Watoto walifanikiwa kupata mafundisho  juu   ya   Mashirika ya Kipapa,   Wito,  Fadhila Ulinzi na Usalama wa Mtoto na Dhamira ya Ybilei Kuu 2025. Pia watoto wamepata Sakramenti ya Kitubio na kuhimizwa juu ya majiundo kiroho na Kimaadili. Vilevile watoto walikula, walicheza, kuimba  na  kusali  pamoja  kwa  furaha.  Tukiongozwa  na  Baba  Askofu  wetu,  Vincent Cosmas Mwagala, tuliadhimisha 03/01/2025 Sherehe ya Watoto Mashahidi ikiwa ni Kilele cha Kongamano na Adhimisho la Yubilei Kuu 2025 Kijimbo  katika kundi la Watoto. Hakika tuliona uwepo wa Utukufu na Upendo wa Mungu kati ya watoto katika furaha yao ya kukusanyika Pamoja ndani ya Uzuri wa Mtoto Yesu. Furaha na Shangwe zilitanda Siku zote tano za Kongamano letu.

 

 

 

Imeandaliwa na: Pd. Gosbert Mlambia, Mkurugenzi wa Mashirika ya Kipapa- Jimbo

Read more

TAARIFA YA KONGAMANO LA WATOTO JIMBO KATOLIKI LA MBINGA

Kongamano la Utoto Mtakatifu jimbo la Mbinga, lilifanyika toka tarehe 27-29/12/2024 Uaskofuni Mbinga. Jumla ya watoto 1267 na walezi 91 walishiriki kongamano hilo. Watoto na walezi wao waliripoti tarehe 27/12/2024, na tarehe 28/12/2024 siku ya Jumamosi mada nne zilitolewa.

Mada ya kwanza ilikuwa EKARISTI TAKATIFU, iliyotolewa na Padre Erasto Nyimbo ambaye ndiye Mkurugenzi wa PMS Jimbo la Mbinga.

Ikafuata MADA YA ULINZI WA MTOTO, iliyotolewa na Padre Joseph Ngahy mkurugenzi wa Miito Jimbo la Mbinga.

Mada ya tatu ilikuwa ni MAADILI, ilitolewa na Padre Leander Ndimbo mwalimu na mlezi wa Seminari ndogo Likonde jimbo la Mbinga.

Mwisho mada ya MIITO MITAKATIFU, ambayo ilitolewa na Sr. Filotea wa shirika la Masista wa Mtakatifu Vincent wa Paulo Mbinga na mkurugenzi wa miito wa Shirika hilo. Kila mada ilitolewa kwa muda wa saa moja.

Tarehe 29/12/2024 Kongamano lilifungwa likitanguliwa na maandamano toka kanisa la hija la Mtakatifu Alois Gonzaga Mbinga mjini kuelekea Kanisa kuu. Watoto walitembea umbali wa kilometa mbili na robo, na wakati wote wa maandamano watoto waliimba nyimbo mbalimbali. Baada ya maandamano, iliadhimishwa misa ya kufunga kongamano la Utoto Mtakatifu na kufungua Jubilei ya mwaka Mtakatifu, misa ambayo iliongozwa na Mhashamu John Chrisostom Ndimbo, Askofu wa jimbo Katoliki la Mbinga.

 

 

Imetayarishwa na: Pd. Erasto Nyimbo, Mkurugenzi wa Mashirika ya Kipapa (PMS)

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Read more

DIOCESE OF NJOMBE CHILDREN RECEIVING EDUCATION ON HOW TO RAISE FUNDS TO HELP THOSE IN NEED

During this Advent season, children of the Holy Childhood Society of the diocese of Njombe are in the process of receiving new education in every Parish on how to raise funds, aimed at helping people in difficult circumstances during the Christmas celebrations.

In line with this education that they are receiving from their leaders including the diocesan PMS Director Fr. Lucas Mgaya, they have decided to focus on praying the novena for Christmas which began on 16th December, while linking their prayers to the Almighty God so that their intentions may succeed.

 

 

From: PMS National Office

Read more

SAME CHILDREN HAD A CONGRESS, WITH A PREVIEW OF THE NATIONAL EUCHARIST OF THIS YEAR 2024

On 10-13 December 2024, children from the diocese of Same, had their Congress which has been held every year during the Advent period before 28th December. The theme of this Congress was that of the National Eucharistic Congress, which was held in September this year which says, “Fraternity to heal the world, we are all brothers”.

The topics presented at this Congress include: Sexual Violence, how to strengthen Spiritually, the role of the Virgin Mary as well as the meaning of pilgrimage considering that there are only a few days left to reach the holy year.

In fact, in this Congress children were very happy and they were even able to urge the Bishop not to get tired of organizing their Congress which will make them continue to strengthen spiritually and morally. However, with great maturity, they urged him to tolerate them as they recognized that they were property destroyers and miscreants, but while promising him to reform themselves so that they would not offend him when they arrived at his episcopate.

 

 

From: National PMS Office

Read more

CHILDREN FROM NACHINGWEA AND RUANGWA PARISHES VISIT EACH OTHER

In November 2024, children from the two Parishes of Nachingwea and Ruangwa from Lindi Diocese, visited each other in Nachingwa parish with the aim of praying, eating and playing together. In this small event, all the children from these parishes seemed to be very happy, as they were able to pray together with the aim of praying for their fellow children in these two areas who live in difficult circumstances, and on the other hand, praying for themselves so that they can find strength in their missionary work.

Also, the children had the opportunity to share their games from these two areas, which brought a great enthusiasm for wanting to continue living together in this place after each child made a friend or friends. After praying and playing, they sat and ate the food that had been prepared for them, and finally they dispersed to return home.

 

From: PMS National Office

Read more

THE INAUGURATION OF THE NEW ACADEMIC YEAR 2024 – 2025 AT KIPALAPALA SENIOR SEMINARY

The inauguration day at Kipalapala Seminary was held on the 4th October, 2024. The event commenced at 9:30 am with the opening prayer led by the General Spiritual Director, Rev. Fr. Theodatus Maramba.

After the opening prayer, the Rector, Rev. Fr. Herman Kachema, was welcomed to give an opening speech. In his speech, he welcomed all to the new academic year 2024/2025. He introduced the seminarians enrolled for this new academic year as follows: 69 first year seminarians, 53 second year seminarians and 110 third year seminarians. He also introduced 16 full time staff members and 2 part time staff members making the total number of 18 formators for this academic year. He briefed us about the important events of this academic year including the Centenary Jubilee of our seminary inviting us to get prepared and participate fully in their preparations.

The General Spiritual Director addressed the audience after the Rector insisting on the ‘self-formation.’ He called upon us to cooperate with God’s grace, for it is God who is the first formator. He also asked us to cooperate with other formators who follow after God for their work greatly depends on our disposition towards the formation process.

On behalf of the Academic Dean, Fr. Celestine Mahurege, insisted on the lectures attendance and avoiding negligence as far as academic issues are concerned. He also invited us to create a reading spirit during our leisure time so that we can develop intellectually.

Fr. Athanasius Mutasingwa, on behalf of the Dean of Discipline, invited us to read carefully the “Seminarian’s Way of Life” for it is a sine qua non for our well-being in the Seminary. He read out some rules from the document, “Seminarian’s way of Life’” emphasizing the point. He concluded by asking those given special duties to perform them carefully, willingly and to the best of their abilities.

Then, the Liturgist, Fr. Andrea Luziga, insisted on the respect for liturgical celebrations. He thus called upon us to participate actively in the liturgical celebrations as well as making prior preparation before any liturgical activity and observing the required dressing codes.

Other formatters were invited to say a word to us and they did as instructed by encouraging us to continue cooperating and helping each other in this journey to priesthood. Fr. Germin Longio gave the so called Triple B’s: Believe, Begin and Become.

Due to the shortage of time, the Senior Student Frt. Ezekiel Boyo, welcomed some few seminarians to air out their views. Having done this, he then gave a welcoming note to the new members of the community and a word of thanks to the formatters on behalf of all seminarians.

Finally, the Rector was welcomed to give the concluding remarks and close the event. In his concluding remarks, he answered some of the queries of the seminarians and invited each of us to bloom where he is planted, and for this case at Kipalapala Seminary. The event was closed by the Angelus prayer and blessings at 1:00 P.M led by Rev. Fr. Leander Bei.

 

Prepared by: Frt. Joannes Kamugisha

Read more

KARIBU DAY AT KIPALAPALA SENIOR SEMINARY

Sunday, 20th October 2024, was a special day in our seminary. Mama Kipalapala, maintaining her custom of setting apart a day, well known as, “Karibu Day,” welcomed the new community members. This year, she has been blessed with 69 first year seminarians, 2 second year seminarians and 2 new formatters, Rev. Fr. Leander Bei from the Catholic Diocese of Mbulu and Rev. Fr. Germin Longio from the Catholic Diocese of Same.

The day began with the celebration of the 29th Sunday of the Ordinary time which was also the Mission Sunday of this year. The Holy Mass commenced at 7:30 A.M presided by Rev. Fr. Januarius Mwilwa. In his homily, Fr. Mwilwa reminded us of our obligation to proclaim the Good News to all nations. He explained that, this obligation arises from the Sacrament of Baptism through which Christians share in the three offices of Jesus Christ as prophet, priest and king.  Moreover, it is based on Jesus’ command to His apostles to go out and make disciples of all nations by baptizing them in the name of the Father, and of the Son and of the Holy Spirit. (Mt. 28:18-20).

He also reminded us that the Gospel to be preached is that, Christ died for our sins and that he was buried and that he rose again on the third day (1Cor. 15:3-4). He therefore, invited us to be missionaries following the example of Jesus Christ, the first missionary. He called upon each and everybody of us to preach the Gospel through our words, deeds and way of living at large. He concluded his homily by inviting us to thank the Almighty God for the gift of the new members in our community. In the same line of thought, he invited us to thank God for the gift of vocation and the call of becoming missionaries.

After the Holy Mass, there were different activities which were performed so as to make the day jovial and colorful. Later on, there were different sports competitions in different grounds. For instance, at the football ground, the school team came up with the victory after scoring two goals against the first year team which scored one goal.

After dusk, the whole Kipalapala community attended a joint dinner prepared for welcoming the new members in the community. The whole community was in the jovial mood.  This festive evening was accompanied by various games, presentations and brief speeches. One of the outstanding performances was that done by Kipalapala Music Band making the community roar in laughter and amusement.

Having done with the games and presentations, the community listened to the insightful and creditable speeches from different speakers expressing their feelings of gratitude and great deal of thanks to the Almighty God for all His blessings, as well as the community at large for the warm welcome.

Karibu day event was of paramount importance not only for the new community members but also for other members who have been in Mama Kipalapala before. This is because; it made us stand awakened and inspired. It also made us far more prepared, better informed and ready to receive the reserve of knowledge against what is to come, ready to transform personally and communally. Generally, the event was simply marvelous.

 

Prepared by: Frt. Joannes Kamugisha.

Read more