Archives for Shinyanga Diocese

KONGAMANO LA UTOTO MTAKATIFU KANDA YA MWANZA, 19 – 21 JUNI, 2025

Mnamo tarehe 19- 21 mwezi Juni, kumekuwa na Kongamano la utoto mtakatifu kanda yaMwanza, kanda ambayo inaundwa na majimbo nane: (Mwanza, Shinyanga, Geita, Musoma, Bunda, Kayanga, Bukoba na Rulenge Ngara) kongamano hili lilikusanya watoto zaidi ya 5000. Kongamano hili lilikuwa la Hija ya watoto kanda ya ziwa kuenzi mwaka wa Jubilei 2025.

Aidha, kwa upande wa jimbo la Shinyanga washiriki watoto walikuwa ni 182, walezi 9 watawa 4 na Padre 1. Miongoni mwa mada zilizofundishwa ilikuwa ni kuhusu Bikira Maria alivyowatokea watoto watatu (Lucia, Francis na Yasinta) kule Fatima. Mada hii iliwasilishwa na Mhashamu baba Askofu Jovitus Mwijage wa jimbo katoliki la Bukoba ambaye ni Rais wa Mashirika ya Kipapa Taifa na Mwenyekiti wa mashirika ya kipapa katika kanda ya Mwanza.

Misa ya Ufunguzi wa Kongamano la kanda iliongozwa na mhashamu Jovitus Mwijage, Askofu wa jimbo katoliki la Bukoba. Watoto wa jimbo katoliki la Shinyanga nao kama washiriki wa kongamano hili, waliandaa   burudani ya wimbo pamoja na ngoma ya kisukuma ingawa muda haukutosha kuonyesha vitu hivyo vyote.

Watoto walifurahi sana kukutana na kundi kubwa la watoto wenzao na pia wengine. Kwa upande mwingine, kongamano lilikuwa kama fursa kwa watoto wengine kwani  ilikuwa ndio mara yao ya kwanza kufika jiji la Mwanza. Safari ya kwenda ilikuwa nzuri sana maana hapakuwa na changamoto lakini safariya kurudi kulikuwa na changamaoto kidogo maana tulikaa sana barabarani kwa sababu ya msafara wa Rais.

Misa ya kufunga kongamano iliongozwa na baba Askofu Flavian Katindi Kasala wa jimbo la Geita

Mimi kama mlezi, kwenye kongamano hili la kanda nimefurahishwa sana na mahudhurio ya watoto kwa ujumla na kwaya katika maadhimisho ya misa ambayo iliongozwa na watoto wenyewe. Aidha, namshukuru sana Mungu kwa baraka zake maana tulianza salama na kumaliza kongamano letu la kikanda salama.

 

 

 

Imeandaliwa na Pd. Francis Kamani, Mkurugenzi PMS jimbo

Read more

TANZANIA – MILLION CHILDREN PRAY THE ROSARY (19 OCTOBER, 2024)

Today the studios of Radio Maria Tanzania roared with the voices of praying the Universal Holy Rosary, while they invited people from every group: elders, youth, businessmen, farmers, and other groups, with the concept of living the message of Pope Francis for Mission Sunday 2024 which says; Go and invite everyone to the banquet (Mt 22:9).

In honor of the Virgin Mary, Star of Evangelization, today October 19, 2024, the children of Tanzania raised their voices together through Radio Maria and other radio stations of the Catholic Church joining spiritually with all the children in the world to pray the holy rosary that is prayed every year in October on the Saturday before Mission Sunday. The specific goal of today’s rosary for the children of Tanzania was to pray for peace, unity and the success of the missionary works in the Local Church of Tanzania and the world at large.

Since it has become a formula for the PMS National Office to choose every year 7 dioceses that take turns in leading others in the rosary, this year the leading dioceses were: Dioceses of Musoma (first mystery), Mahenge (second mystery), Archdiocese of Tabora (third mystery), diocese of Lindi (forth mystery), Mafinga (fifth mystery), Moshi (the litany) and the Archdiocese of Dar es Salaam which is given a chance every year considering that they are close to radio headquarters and if unexpected communication errors occur in a certain diocese they can support (their leading part was the opening and closing prayers).

By comparing the statistics that the PMS National Office has been taking every year to know the number of children who were praying the rosary on the scheduled day and time, the office admits that this year the number of children has been more surprising than previous years. For instance; archdiocese of Arusha gathered about 4000 children, Bukoba 2500, Bunda 500, Dar es Salaam 5000, Dodoma 3000 children, Ifakara 210, Kayanga 230, Moshi 5000 children, Mbulu 6400, Mbeya 6000, 1500 Kahama, Singida 3200 children, Mahenge 500, Njombe 1500, Songea 1900, Lindi 300 children, Iringa 3200, Mafinga 200, Musoma 300 to name a few. There were also priests (Diocesan PMS Directors), nuns and animators who were leading the children in the event of praying the rosary for each diocese. The PMS national team (Fr Alfred S. Kwene – PMS National Director, Sr Idda J. Mketi – PMS Secretary and Sr Anagladness Mrumah – National Childhood Secretary) joined to pray at the main center, that is, Blessed Virgin Mary of Fatima Parish-Msimbazi, where the children of the Archdiocese of Dar es Salaam gathered. Hence, with this assessment that the office has done, it has clearly shown that missionary work in Tanzania is growing and spreading rapidly like the seeds of the sower that fell on good soil (Ref. Mk 4:3-9)

It was a joy for us in Tanzania that we were able to have two bishops joining the children’s rosary (His Eminence Protase Cardinal Rugambwa and Rt. Rev. Jovitus Mwijage). Correspondingly, before the blessing His Eminence Cardinal Rugambwa was able to talk to the children and encourage them in living their missionary work tirelessly. In a special way, he was able to encourage all believers to live the message of the holy father of Mission Sunday 2024, which encourages all people to go and invite everyone wherever they are, so that they can follow Christ.

 

From PMS National Office

 

Read more